ALICHO POST TUNDA MAN KUHUSU EDWARD LOWASSA

Screen Shot 2014-08-11 at 5.42.21 AM
Kutana na ya moyoni mwa Tunda Man, staa wa bongofleva kutokea kundi la Tiptop Connection ambapo amepost picha kadhaa na maelezo yake kwenye mtandao wa instagram.Ya kwanza ni hiyo hapo juu akiwa kasimama mbele ya mabango yanayomuhusu Mbunge wa Monduli Edward Lowassa anaetajwa sana kuhusu Urais wa Tanzania 2015 ambapo kwenye maelezo ya hiyo picha Tunda Man aliandika ‘fotmation yetu ni 4-4-2′

Screen Shot 2014-08-11 at 6.48.15 AM
Post nyingine alizoweka Tunda man ni hizi hapa chini akiwa nchini Kenya ikiwa ni siku kadhaa tu baada ya kupona toka apate mshtuko na mwili kukosa nguvu sekunde chache baada ya kupokea simu ya namba asiyoifahamu ambayo sio ya Afrika Mashariki.

Screen Shot 2014-08-11 at 5.43.24 AMScreen Shot 2014-08-11 at 5.43.31 AM
 
Screen Shot 2014-08-11 at 5.42.53 AMScreen Shot 2014-08-11 at 5.43.01 AM

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI