DEREVA WA BASI LA YANGA AFARIKI DUNIA

Dereva ambaye alikuwa akiendesha basi linalowabeba wachezaji wa Yanga, Maulid Kiula, amefariki dunia.
Kiula amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua kwa siku kadhaa na Meneja wa Yanga, Hafidh Saleh amethibitisha hilo.
Imeelezwa Kiula aligua kwa siku kadhaa kabla ya mauti kumfika.
Bado haijaelezwa mipango ya mazishi, lakini mashabiki wanaweza kumkumbuka zaidi kupitia tukio la yeye kujeruhiwa wakati mashabiki walipolishambulia basi la Yanga kwenye Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya wakati wa mechi ya Ligi Kuu Bara.
Mungu aipumzishe roho ya mwanamichezo huyo.
AMINA.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.