JAMAA ANAPIGANA NA CHATU BILA SILAHA PORINI AKIWAZUIA WASILE WANYAMA!

 Ruben Ramirez mwenye miaka 41 ameamua kujitolea kuingia porini huko Florida, Marekani kupambana na nyoka wakubwa ambao walivamia eneo hilo tangu mwaka 2000 na kula wanyama mbalimbali katika maeneo hayo. Ramirez ambaye ni mwenyeji wa eneo hilo ameeleza kuwa wakati anakuwa, yeye na baba yake walikuwa wakienda porini kuangalia wanyama mbalimbali lakini tangu chatu hao walipovamia eneo hilo hawaoni tena wanyama hao na ndio sababu akaamua kuwapunguza. 
Mwanaume huyo hupigana mieleka na chatu hao na kuwashika wakiwa hai kisha kuwakabidhi kwa maafisa wa wanyama pori wanaowatoa katika eneo hilo kwa lengo la kusaidia wanyama kukua.
 
Ramirez anaeleza kuwa tayari ameshang’atwa zaidi ya mara mia au elfu kadhaa na nyoka hao wakati akipapambana nao lakini ameweza kupona kwa kuwa wengi huwa hawana sumu. 
Pamoja na hatari kubwa anayokabiliana nayo, anadai kuwa hufurahia sana kupigana mieleka na nyoka hao.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.