KAMPUNI YA TANZANIA DISTILLERIES LTD (TDL) YAZINDUA KINYWAJI KIPYA CHA KIMATAIFA, FYFE’S SCOTCH WHISKY KATIKA SOKO LA TANZANIA
Langa
Khanyile mtaalamu wa upikaji na uchanganyaji wa kinywaji cha Fyfe’s
akitoa maelezo ya kina ni kwa namna gani kinywaji hicho kinaandaliwa
kutoka hatua ya kwanza mpka Mwisho.
Mkurugenzi mtendaji wa TDL David Mgwasa akielezea na kutoa ufafanuzi wa
Kinywaji kipya aina ya Fyfe's.Kampuni ya Tanzania distilleries ltd
(tdl) Juzi Tarehe 20 mwezi wa 8 2014 imefanya uzinduzi wa kinywaji chake
kipaya aina ya Fyfe's katika hoteli ya Serena, Kinywaji hicho ambacho
uhalisia wake na uzindikaji ni wa nchini scotland.Mkurugenzi wa TDL
David Mgwasa amewaomba waTanzania kukipokea kinywaji hicho kwenye soko
la vimiminika kwani kina ubora wa hali ya juu na kimetengenezwa kwa
asilimia kubwa kwa kutumia vitu asilia,
Langas
Group wakiingia ukumbuni kwa kutoa burudani ikiwa ni kumkaribisha Bwana
Langa Khanyile ambaye ni mtaalamu wa masuala ya upishi wa bia na
uchanganyaji.
Langa
Khanyile mtaalamu wa upikaji na uchanganyaji wa kinywaji cha Fyfe’s
akicheza kwa furaha na mshehereshaji wa shughuli hiyo Jimy Kabwe Ndani
ya Serena Hotel wakati wa uzinduzi
Moshi
mkubwa ukitoka ndani ya kifaa cha mfano wa glass ya asili kuashiria
uzinduzi rasmi wa kinywaji cha Fyfe’s ndani ya Serena hotel
Wageni waalikwa na wadau mbalimbali wakiangalia namna pekee ya uzinduzi wa kinywaji cha Fyfe’s
Comments