Liberia
itapatiwa dawa za majaribio - ambazo hazijafanyiwa majaribio, Zmapp,
kujaribu kutibu watu walioambukizwa ugonjwa wa Ebola, imesema serikali
ya Liberia. Hatua hiyo imekuja baada ya ombi kutolewa kwa Marekani na
Rais wa Liberia, Ellen Johnson Sirleaf, imesema serikali.
Habari hizi zimekuja wakati wataalam wa maadili ya kitabibu wakikutana
mjini Geneva, kutazama jinsi ya kutumia dawa mpya kama hizo. Shirika la
Afya Duniani, WHO, ambalo limeandaa mkutano huo, limesema watu wapatao
1,013 wamekufa Afrika Magharibi kutokana na Ebola.MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments