LIBERIA KUPATA DAWA MPYA KUPAMBANA NA EBOLA

Liberia itapatiwa dawa za majaribio - ambazo hazijafanyiwa majaribio, Zmapp, kujaribu kutibu watu walioambukizwa ugonjwa wa Ebola, imesema serikali ya Liberia. Hatua hiyo imekuja baada ya ombi kutolewa kwa Marekani na Rais wa Liberia, Ellen Johnson Sirleaf, imesema serikali.
Habari hizi zimekuja wakati wataalam wa maadili ya kitabibu wakikutana mjini Geneva, kutazama jinsi ya kutumia dawa mpya kama hizo. Shirika la Afya Duniani, WHO, ambalo limeandaa mkutano huo, limesema watu wapatao 1,013 wamekufa Afrika Magharibi kutokana na Ebola.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.