Naibu waziri maji Amos Makalla Jumapili aliongoza waumini wa kanisa kkkt dayosisi ya mashariki , viongozi wa majimbo na sharika zake katika harambee ya kuchangisha fedha za ujenzi wa shule ya Elbeneza itakayokuwa kwa ajili ya shule ya msingi na sekondari.
Katika harambee hiyo fedha sh 124m zilipatikana kati ya hizo fedha taslimu sh 57m zilipatikana na 67m ikiwa ni ahadi. lengo la harambee ni kupata sh 120m kukamilisha majengo muhimu kuwezesha shule hiyo kufunguliwa januari mwakani.
Makalla alimpongeza askofu mameo, wachungaji na waumini kwa michango yao kufanikisha ujenzi Aidha alilipongeza kanisa kwa uumuzi wa kujenga shule imeonyesha namba kanisa lilivyo tayari kushirikiana na serikali na amewahaidi kuzitafutia changamoto mbalimbali walizompatia kuziwasilisha serikalini
Makalla akiwa na familia ya Askofu Mameo
Makalla akishiriki katika ibada hiyo
Makalla akiongoza harambee hiyo
Katika harambee hiyo fedha sh 124m zilipatikana kati ya hizo fedha taslimu sh 57m zilipatikana na 67m ikiwa ni ahadi. lengo la harambee ni kupata sh 120m kukamilisha majengo muhimu kuwezesha shule hiyo kufunguliwa januari mwakani.
Makalla alimpongeza askofu mameo, wachungaji na waumini kwa michango yao kufanikisha ujenzi Aidha alilipongeza kanisa kwa uumuzi wa kujenga shule imeonyesha namba kanisa lilivyo tayari kushirikiana na serikali na amewahaidi kuzitafutia changamoto mbalimbali walizompatia kuziwasilisha serikalini
Makalla akiwa na familia ya Askofu Mameo
Makalla akishiriki katika ibada hiyo
Makalla akiongoza harambee hiyo
Comments