MANCHESTER CITY YAICHAPA LIVERPOOL 3-1

Manchester City imepata ushindi wa mabao 3-1 katika mechi ya Ligi Kuu England dhidi ya Liverpool.
Ikiwa nyumbani, City imefanikiwa kushinda kwa mabao hayo yaliyofungwa na Jovetic (mawili) na Sergio Aguero aliyehitimisha la tatu wakati Lambert alifunga moja kwa LIverpool.

Man City: Hart, Zabaleta, Kompany, Demichelis, Clichy, Toure, Fernando, Silva, Nasri, Jovetic, Dzeko.
Subs: Sagna, Milner, Kolarov, Caballero, Jesus Navas, Aguero, Fernandinho.
Liverpool: Mignolet, Johnson, Skrtel, Lovren, Moreno, Henderson, Gerrard, Allen, Coutinho, Sturridge, Sterling.
Subs: Brad Jones, Toure, Lambert, Sakho, Manquillo, Can, Markovic.
Referee: Michael Oliver (Northumberland).






Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.