Mkurugenzi
Mkuu wa Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na KilimoTanzania Bw. Daniel
Machemba akiongea na waandishi habari (hawapo pichani) kwenye mkutano
wa waandishi kuhusu maonyesho ya bidhaa za Kichina, kushoto kwake ni
Mwakilishi wa Uchumi na Biashara kutoka Jamhuri ya Watu China nchini
Tanzania Bi.Wang Fang, na kulia kwake ni Bi Rehema Mtingwa Afisa wa
Mawasiliano kutoka TPSF.
Baadhi
wa washiriki waliohudhuria kwenye mkutano wa waandishi kuhusu maonyesho
ya bidhaa mbalimbali za Kichina yatakayoanza tarehe 21 hadi 24 mwezi
huu kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es salaam.
Mwakilishi
wa Uchumi na Biashara kutoka Jamhuri ya Watu China nchini Tanzania
Bi.Wang Fang akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani).
Mkurugenzi
Mkuu wa Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na KilimoTanzania Bw. Daniel
Machemba akiwa kwenye picha ya pamoja na wawakilishi wa biashara kutoka
Jamhuri ya Watu wa China mara baada ya mkutano na Waandishi.
Comments