Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla (kushoto) akiwa na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Simbachawene ambaye alikwenda kufariji wakati wa msiba wa baba yake mzazi, marehemu Gabriel Makalla, Mvomero, mkoani Morogoro.
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla (katikati) akisaidiwa na Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini, Dk. Emmanuel Nchimbi kuweka shada la maua kwenye kaburi la baba yake marehemu Gabriel Makalla wakati wa maziko yalityofanyika wilayani Mvomero, Morogoro.
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla (katikati) akisaidiwa na Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini, Dk. Emmanuel Nchimbi kuweka shada la maua kwenye kaburi la baba yake marehemu Gabriel Makalla wakati wa maziko yalityofanyika wilayani Mvomero, Morogoro.
Comments