Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Auction Mart, Alex Msama akionesha baadhi ya CD feki za muziki ya wasanii mbalimbali wa muziki wa injili zilizokamatwa katika operesheni inayoendelea nchini. Watu 15 walikamatwa wakiuza CD hizo katika mitaa mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam. Kulia ni Mrakibu Mwandamizi wa Polisi, ambaye ni mpelelezi wa Kituo cha Polisi cha Urafiki, Dar es Salaam, Denis Moyo na askari wa kituo hicho anayeongoza operesheni hiyo, Daniel Nonosiua.
Sehemu ya CD zilizokamatwa zikiwa zimesambazwa katika Kituo cha Polisi cha Urafiki, Ubungo, Dar es Salaam. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments