PIGO ARSENAL, NAHODHA ARTETA NJE MECHI YA MARUDIANO NA WATURUKI LIGI YA MABINGWA

NAHODHA wa Arsenal, Mikel Arteta atakosa mechi mbili zijazo za klabu yake baada ya kuumia kifundo cha mguu katika mchezo wa kwanza wa mchujo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Besiktas.
Nyota huyo wa Arsenal alitolewa nje dakika ya 50 kwenye Uwanja wa Olympic Ataturk baada ya kuumizwa na mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Demba Ba.
Arsenal pia itamkosa nyota wake mwingine, Aaron Ramsey katika mchezo wa marudiano na timu hiyo ya Uturuki, baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya nano kipindi cha kwanza dhidi ya Beskitas.

Majeruhi: Kiungo wa Arsenal, Mikel Arteta atakosa mechi mbili zijazo za The Gunners 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.