Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa na
mkewe Mama Anna Mkapa kwenye Ikulu ya Mwanza August 8, 2014 ambako
August 9, 2014 atakuwa mgeni rasmi katiaka harambee ya Mkapa Foundation
inayotarajiwa kufanyika jijini Mwanza. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa na
mkewe Mama Anna Mkapa kwnye Ikulu ya Mwanza August 8, 2014 ambako
August 9, 2014 atakuwa mgeni rasmi katiaka harambee ya Mkapa
Foundation inayotarajiwa kufanyika jijini Mwanza. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Comments