SERENGETI FIESTA ILIVYOFANA BUKOBA

 
Mashabiki waliojitokeza katika Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo Bukoba.
 
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Winfrida Josephat 'Rachel' akitoa burudani katika Tamasha la Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo, Bukoba.
 
Rachel akiendelea kutoa burudani.
 
DJ Fetty akifanya yake.  
Msanii wa muziki wa asili Saida Karoli akiwanyanyua mashabiki wake.
 
Mtoto wa Saida Kaloli akicheza ngoma.
 
Staa wa Bongo Fleva, Jux akiimba wimbo wake mpya wa Nitasubiri.
 
Dogo anayekimbiza kwenye muziki wa Hip Hop Bongo, Young Killer akiwaimbisha mashabiki.
 
Msanii wa Super Nyota 2013, Kessy Style  akishambulia jukwaa.
 
Staa aliyetambulika zaidi kwa wimbo wake wa Maumivu, Khadija akiangusha shoo yake.
 
Rais wa Manzese, Madee akikaporomosha mashairi ya ngoma yake mpya ya Ni Sheeda.
 
Mkali wa ngoma ya Muziki Gani, Nay wa Mitego akiwasikilizia mashabiki wanavyoitikia nyimbo zake.
 
Staa wa Hip Hop, Stamina akifanya yake jukwaani.
 
Msanii wa Bukoba, Shomile naye alipata bahati ya kuamshaamsha burudani.
 
Jackson Mmbando akiwa katika pozi na Madee (kushoto).
(PICHA NA MUSA MATEJA/GPL, BUKOBA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*