TSN WATANGAZA VITUO VYA UUZWAJI WA TIKETI ZA REAL MADRID VS TANZANIA ELEVEN



Waratibu wa ziara ya kikosi cha Real Madrid, Kampuni ya Tanzania Sisi ni Nyumbani (TSN), wametangaza sehemu ambazo tiketi za mechi inayosubiriwa kwa hamu ya wakongwe wa Tanzania Al maarufu kama Tanzania Eleven dhidi ya Real Madrid wakongwe zinapouzwa.
Wamesema vituo vinaweza kuongezeka kutokana na mahtaji ya juu ya watu lakini vituo zaidi ya 10 tayari zimeanza kuuza tiketi hizo.
TICKET   ZA REAL MADRID  ZINAPATIKANA  KATKA  VITUO VIFUATAVYO.
TSN   BAMAGA SUPERMARKET .
TSN  OIL  BAMAGA PETROL STATION.
TSN   SUPERMARKET  UPANGA .
TSN  SUPERMARKET  TEGETA.
BIG BON    MSIMBAZI.
BIG BON   SINZA.
BIG BON  TEMEKE.
BIG BON MBAGALA.
BIG BON TEGETA.
TSN SUPERMARKET TANCORT  HOUSE .
MARRY   BROWN MASAKI.
TSN   SUPERMARKET  MIKOCHENI.
TSN  OIL TABATA  KIMANGA.
ENGEN   MIKOCHENI
MARRY  BROWN MLIMANI CITY

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.