WAISHI PAMOJA KWA MIAKA 62 WAFARIKI PAMOJA

Watu walioishi katika ndoa kwa miaka 62 wamekufa pamoja nchini Marekani. Don na Maxine Simpson, kutoka Bakersfield, California walipishana kwa saa chache tu kufa, katika vitanda vilivyowekwa karibu, huku wakishikana mikono katika saa zao za mwisho duniani.
Melissa Sloan, ambaye ni mjukuu, amesema bibi yake alitangulia kufa, na mwili wake ulipoondolewa chumbani, babu yake naye akafuata.

"Kitu pekee alichokitaka Don ni kuwa na mke wake mpenzi. Alimpenda sana bibi yangu, mpaka mwisho”

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI