Wakongwe
wa Klabu ya Real Madrid ya nchini Hispania wakipiga picha za kikundi
cha ngoma kilichokuwa kikiwatumbuiza mara baada ya kuwasili Uwanja wa
Ndege wa Kilimanjaro kabla ya kuelekea Mlima Kilimanjaro.
Wachezaji
wakongwe wa Klabu ya Real Madrid wakiwa katika picha ya pamoja na
watumishi wa TANAPA mara baada ya kumaliza zoezi la matembezi mafupi ya
kupanda Mlima Kilimanjaro.
Waziri
wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Dk. Fenela Mukangara akitoa
cheti cha ushiriki kwa mchezaji Ruben De La Red wa Klabu ya Real Madrid
mara baada ya kumaliza zoezi la matembezi mafupi ya kupanda Mlima
Kilimanjaro.
Wakongwe wa Real Madrid wakiwa katikati ya msitu wa Mlima Kilimanjaro.
Eneo la Maporomoko ya Maji ambapo wachezaji wakongwe wa Real Madrid walifanikiwa kufika Mlimani Kilimanjaro.
Meneja
Mawasiliano wa TANAPA Pascal Shelutete (mwenye fulana nyeupe na miwani)
akiongoza msafara wa wakongwe wa Real Madrid kukwea Mlima Kilimanjaro.
PANONE FC ILIVYOPOKEA UGENI WA REAL MADRID KILIMANJARO
Waziri wa Vijana,Utamaduni na Michezo Dk Fenera Mkangara akiongoza ugeni toka klabu ya Real Madrid ulipowasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA.) |
Baadhi ya wachezaji wa zamani wa klabu ya Real Madrid wakiwasili katika uwanja wa Ndege wa KIA . |
Mkurugenzi wa Kampuni ya Panone Ltd Patrick Ngiloi akisalimiana na mmoja wa wageni waliokuwa wameambatana na ugeni huo. |
Magwiji hao walipokelewa na ngoma ya asili kutoka kikundi cha Msanja cha mjini Moshi. |
Magwiji hao walikabidhiwa Maua uwanjani hapo kama ishara ya Upendo kwao |
Mkurugenzi wa Panone Ltd,Patrick Ngiloi (kushoto) akiteta jambo na Mkurugenzi wa TSN ,FarouK Baghoza mara baada ya kupokea ugeni toka Real Madrid. |
Ugeni wa Real Madrid ukiwasili katika hotel ya Panone Luxury Motel iliyopo King'ori jijini Arusha. |
Waziri wa Habari ,Vijana ,Utamaduni na Michezo Dk Fenela Mkangara akiongozana na mkuu wa wilaya ya Rombo ,Elinasi Parangyo kusindikiza Ugeni toka Real Madrid. |
Wachezaji wa Real Madrid wakiteremka toka katika basi wakiingia hotel ya Panone Luxury Motel kwa jaili ya viburudisho. |
Viongozi wa serikali wakipata viburudisho |
Baadhi ya wachezaji wa klabu ya Panone fc wakibadilishana mawazo na baadhi ya wachezaji wa zamani wa klabu ya Real Madrid . |
Wadau wa soka mkoa wa Kilimanjaro pia walikuwepo. |
Wachezaji wa klabu ya Panone fc ,Raymond Madesho (shoto) na Salmini Mvungi wakipata picha ya pamoja na mtangazaji wa Clouds fm Shaffih Dauda. |
Waziri wa Habari,Vijana ,Utamaduni na Michezo Dk Fenela Mkangara akikabidhi zawadi ya kinyago kwa Kiongozi wa Wachezaji wa zamani wa klabu ya Real Madrid. |
Waziri wa Habari,Vijana ,Utamaduni na Michezo Dk Fenela Mkangara akizungumza mara baada ya kukabidhi zawadi kwa wageni hao. |
Baaadhi ya wageni wakiwa na wenyeji wao katika hotel ya Panone Luxury Motel. |
Waziri Mkangara akiongoza ugeni kutoka hotelini hapo. |
Kikosi cha wachezaji wa zamani waklabu ya Real Madrid kikiasili katika uwanja wa Ushirika. |
Kikosi cha Machava fc . |
Kikosi cha Panone fc. |
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akiwapokea wageni hao. |
Wageni wakijiandaa kusalimia vikosi vya Panone fc na Machava fc. |
Kikosi cha Machava wakiwa katika picha ya Pamoja na magwiji wa Real Madrid. |
Kikosi cha Panone fc kikiwa katika picha ya pamoja na magwiji wa Real Madrid. |
Friends Of Panone wakiwa katika picha ya Pamoja na magwiji hao. |
Comments