KOCHA WA YANGA, MAXIMO NA MSAIDIZI WAKE, LEIVA. |
Klabu za Ligi Kuu ya Vodacom zikiwemo Yanga, Simba na Azam FC na zile Ligi
Daraja la Kwanza (FDL) zinatakiwa kuwasilisha Shirikisho la Mpira wa Miguu
Tanzania (TFF) orodha ya watendaji wa mabenchi yao ya ufundi yakiongozwa na
Kocha Mkuu.
Ni wajibu wa klabu kuhakikisha
zinatekeleza maagizo hayo kwani ni matakwa ya Kanuni za VPL na zile za FDL.
Comments