HAWA NDO WASANII WA TANZANIA WENYE MVUTO ZAIDII


Vanessa-Mdee-Bongo-Flava-Vibe-Mvuto
Maarufu kama Vee money  yeye ni recording artist, rapper, songwriter, na mtangazaji wa vipindi vya television na redio,mitandao mengi ya huko nchini Kenya ili ripotiwa kumfananisha mrembo huyu na mmoja wa wanamuziki wa destiny child,Kelly Rowland.ndiye msanii anayetoka poa kwenye kila aina ya vazi atakaloamua atupie,unaweza kudhani kuwa ni model au kwa nini hajawa model nakuchagua kuwa muimbaji kwa jinsi alivyo tu.
Najma.
Najma-Bongo-Flava-Vibe-Mvuto
Sauti yake na uzuri wake kwa mara ya kwanza kuonekana katika luninga,ni kwenye video ya tabasamu ya Mr.Blue,ila kutokana na uzuri wake,naamini asilimia kubwa ya watu huishia kumuangalia Najma tu,naamini hata asingekuwa na sauti nzuri watu bado wangekuwa wanaangalia video zake,mbali na uzuri huo yeye pia ni msanii wa bongo fleva na kwa hivi sasa ana-hit na track yake mpya ya Nimechoka aliyomshirikisha Aslay.
Meninah
Meninah-Bongo-Flava-Vibe-Mvuto
Urembo wake ulijionyesha pamoja na kipaji chake kizuri cha kuimba pale alipoamua kushiriki mashindano ya Epic Bongo Star Search,ndio Tanzania ilipoanza kuona uwepo wake,Shaghala baghala ndiye video yake iliyomuweka kwenye ramani ya bongo fleva mwaka huu,nakufanikiwa kuzidi kupata umaarufu,uzuri wake unaweza kusema labda amechovya flani hivi.
Jokate.
Jokate-Bongo-Flava-Vibe-Mvuto
Ingawa aliweza kuonekana kwenye nyimbo kadhaa za bongo fleva hapo mwanzo, kupitia uzuri wake akiwa kama model,mwisho wa siku akajaribu kuweka vocal,zikakubalika,nakushirikishwa kwenye nyimbo mbali mbali ikiwemo kaka dada.Huyu si tu msanii wa bongo fleva,bali ni Tv presenter na host katika events mbalimbali,ukiachia mbali u-CEO of Kidoti Lovig co.
Recho.
Recho-Bongo-Flava-Vibe-Mvuto
Wengi humfananisha msanii huyu na mkongwe wa muziki wa Bongo fleva maarufu kama RayC,kuanzia macho,weupe wake,sauti hadi jinsi anavyocheza unaweza kusema kuwa ni mdogo wake Ray C,ila uzuri wake ndio uitakaokuweka kwenye luninga yako muda mrefu kumwangalia video yake,badala yakusikiliza nyimbo.Ni msanii aliyekuja kwa kasi kwenye Bongo Fleva nakukubalika kirahisi na kubaki on top hadi hii leo,ana-hit na nyimbo kama Kizunguzungu,upepo,nashukuru umerudi na nyingine nyingi.
Linah.
Linah-sanga--Bongo-Flava-Vibe-Mvuto
Ukiongelea wenye mvuto kwenye sanaa hii ya Bongo fleva,Linah anaweza kuwa juu ya list,jina lake kamili ni Linah Sanga,anakimbiza sana katika anga hizi za bongo fleva, kwenye upande mzima wa mvuto,wadau wanasema kuwa hawezi kulinganishwa na msanii mwingine yeyote.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU