KESI YA SHEIKH PONDA YAAHIRISHWA TENA KWA MARA NYINGINE


Sheikh Ponda akiwa eneo la Mahakama.
Wakili Juma Nassoro akizungumza na waandishi na wafuasi wa Sheikh Ponda.
Baadhi ya wafuasi wa Sheikh Ponda wakimsikiliza wakili Juma Nassoro nje ya mahakama kuu.

KESI inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda ya kufanya mkutano wa hadhara mjini Morogoro, imeahirishwa hadi Septemba 10 mwaka huu, itakaposikilizwa katika Mahakama Kuu.

Kesi hiyo imeahirishwa baada ya upande wa utetezi  kuomba kesi hiyo iliyoko Morogoro ihamishiwe katika Mahakama Kuu ya Tanzania badala ya kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI