MAKALLA AFANYA ZIARA KIJIJI CHA WAMI SOKOINE, MVOMERO

 Naibu Waziri Maji na Mbunge wa Mvomero, Amos Makalla (aliyevaa kaunda suti katikati) akiwapatia wananchi namba yake ya simu ili awe anawasiliana nao baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Wami Sokoine, wilayani Mvomero, Morogoro
 Naibu Waziri Maji na Mbunge wa Mvomero, Amos Makalla (aliyevaa kaunda suti) akizungumza na Kamanda wa Polisi Jamii wa Kijiji cha Wami Sokoine, Hamis Hasan alipokuwa katika ziara katika Kijiji hicho, wilayani Mvomero, Morogoro
Mmoja wa wanakijiji akiuliza swali kwa Mbunge, Makalla wakati wa mkutano huo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*