MAMIA WAMZIKA MAREHEMU MZEE ADAM LUTUFYO MWAIGOMOLE KIJIJINI KWAKE MWELA KATA YA KANDETE MWAKALELI

Marehemu Mzee Adam Lutufyo Mwaigomole Enzi za Uhai wake 
 Mwili wa Marehemu ukiwa umewasili Kijijini kwake Mwela Tayari kwa Mazishi
Mtumishi wa Mungu akimshukuru Mungu Mara baada ya Mwili wa Marehemu kuwasili
 
Waombolezaji wakiwa Nyumbani kwa Marehemu
 Baadhi ya Wachungaji na Viungozi wa Dini wakiwa katika Msiba huo
 Waombolezaji wakiwa Makaburini
 Mwili wa Marehemu Mwaigomole ukiingizwa kanisani
 Mwili wa Marehemu ukiwa Kanisani kuombewa kwa Mara ya Mwisho na Kupelekwa Katika Maziko
 Wa nne kutoka Kulia aliyevaa kitambaa cha Dhambalau ni Mke wa Marehemu Mwaigomole akiwa na wanafamilia
 Wachungaji wakiwa kanisani
 Waumini wakisindikiza Mwili wa Marehemu kutoka Nje kuelekea makaburini kwa ajili ya Maziko
 Mwili wa Marehemu ukiwa Tayari unatolewa kuelekea Makaburini
 Mwili wa Marehemu ukiwa Tayari kwa ajili ya kuingizwa Kaburini
 Mtumishi wa Mungu akiwa Anatoa neno fupi kabla ya kuanza Mazishi
 Mke wa marehemu wakwanza kushoto aliyekaa akiwa kaburini Kumsindikiza Marehemu mume wake Adam Mwaigomole
Mwili wa Marehemu Adam Mwaigomole ukiwa umeshushwa katika Nyumba yake ya Milele
 Mtumishi wa Mungu akiweka Mchanga katika Kaburi ishara ya kufukia Mwili wa Marehemu na kuendelea na Taratibu za Mazishi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.