Siku
hizi stori za mastaa wa dunia kuja kuitembelea Tanzania sio moja wala
mbili manake wamekua wakija wengi tu na hawaachi kuipa nchi hii
matangazo ya bure kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii.
Mastaa
wengine waliotua kwenye ardhi ya Jakaya time hii ni mwigizaji staa wa
Marekani Gabrielle Union na mumewe Dwyane Wade mcheza kikapu wa Miami
heat ambapo wameifanya Serengeti Tanzania kuwa sehemu nyingine
waliyoitembelea duniani wakiwa kwenye honeymoon yao.
Comments