RACHAEL CLAVERY NDIYE MISS LAKE ZONE 2014


Malkia wa kanda ya Ziwa, 'Miss Lake Zone 2014' Rachael Clavery (katikati) akiwa jatika picha ya pamoja na mshindi wa pili Mary Emanuel (kulia) na Mshindi wa tatu Nikole Sarakikya (kushoto) mara baada ya kutawazwa kuwa ndio washindi na kujinyakulia tiketi ya kushiriki Miss Tanzania 2014. Rachael aliwashinda warembo wengine 17 na kujinyakulia zawadi ya Gari la lenye thamani Shilingi millioni 10 katika shindano lililofanyika Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza mwishoni mwa wiki.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.