Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Bibi yake Rais wa Marekani,Mh.
Barack Obama,Mama Sarah Obama walipokutana Leo kwenye hoteli ya Villa
Rosa Kempiski jijini Nairobi, Kenya, wakati Rais Kikwete akijiandaa
kurejea nchini.Mama Sarah Obama anatarajia kuzindua taasisi ya kusaidia
elimu kijijini Kogelo nchini Kenya,alikozaliwa Baba yake na Rais Obama
wa Marekani itakayofahamika kama (Sarah Obama foundation) ambapo
atajenga shule kuanzia za awali mpaka sekondari. Rais kikwete sasa hivi
yuko mjini Kondoa kuendelea na ziara yake ya Mkoa wa Dodoma.PICHA NA
IKULU
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments