SHULE YA SOUTHERN HIGHLANDS MAFINGA YAJIVUNIA UBORA ,YASEMA HAKUNA MWANAFUNZI WA DARASA LA SABA ATAKAYEFELI
Library ikiwa na vitabu vya kutosha
.Msimamizi wa Library katika shule ya Southern Highlands Mafinga Glory Mgullah kulia akimwekekeza mgeni rasmi katika mahafali ya 14 ya darasa la saba shuleni hapo Bw Nasibu Mengele (wa pili kushoto) vitabu mbali mbali vilivyomo katika Library ya shule hiyo wa kwanza kushoto ni mkuu wa shule hiyo Bi Mary Mungai na wa tatu kushoto mkuu wa shule hiyo Jason Nyang’ware
Comments