Mchezaji wa timu ya URA ya Uganda, Senkoomi Sam, akiondoa hatari langoni kwake huku akifuatwa na Emmanuel Okwi wa Simba katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Simba ilifungwa bao 1-0. (PICHA NA KASSIM MBAROUK)
Mchezaji Mussa Semion wa URA ya Uganda akimkwatua Emmanuel Okwi wa Simba.
Mchezaji Mussa Semion wa URA ya Uganda akimkwatua Emmanuel Okwi wa Simba.
Comments