TAARIFA YA KAMISHNA KOVA KWA WANANCHI


Kamishina Kova akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani).


Baadhi ya vitu mbalimbali vilivyokamatwa na jeshi la polisi.
 KAMISHNA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,  Suleiman Kova leo, ametoa taarifa maalum ya Jeshi la Polisi kuhusiana na mafanikio  katika utendaji wao wa kazi.
Kova ametoa taarifa  ya matukio yaliyojitokeza katika kipindi cha wiki mbili ikiwemo operesheni maalum ya kuzuia kupambana na matishio ya uhalifu jijini Dar es Salaam, mtandao wa uhalifu wanaotumia teknolojia ya mawasiliano (IT).

Kukamatwa kwa majambazi sugu wawili pamoja na SMG, kukamatwa kwa tiketi bandia 424 za mechi ya ngao ya hisani kati ya Yanga na Azam pamoja na  Kupatikana kwa silaha aina ya Pistol na risasi 6.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.