TANZANIA YAANZA KUTOA ELIMU JUU YA UGONJWA WA EBOLA


Kufuatia hofu ya ugonjwa hatari wa Ebola kuweza kupenya nchini Tanzania na kuleta madhara kwa wananchi wake, serikali ya Tanzania kupitia wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imeanza kutoa elimu ya dalili za ugonjwa huo na namna ya kujikinga dhidi ya maambukizi yake.

Tayari mabango yenye ujumbe huo yamebadikwa katika vituo vya daladala jiji Dar es Salaam na wananchi wamekuwa wakipita na kuyasoma mabango hayo na kupata elimu. 

Father Kidevu Blog imeshuhudia mabangpo hayo katika kituo cha Msalaba Mwekundu (Red Cross) kilichopo barabara ya Ali Hassan Mwinyi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.