GARI JIPYA LA KIFAHARI LINALODAIWA KUWA LA DIAMOND PLATNUMZ

 

Gari aina ya Mercedes 350 Cdi inyosemekana inamilikiwa na msanii Diamond.

Hiyo ni Mercedes Ml 350 Cdi ya mwaka 2014 Radio Mbao moja ya mjini imevumisha kwamba ni kitu kipya cha Diamond Platnumz bado hata namba hakijabatizwa nazo na ni kipya kabisa kama Waswahili wasemavyo zero kilomita.
Hivi wote mwajua hakuna siri dunia hii, na kama halipo lajongea, ukweli utajulikana tu…
Gari ya kifahari.
Gari ya kifahari.
Kwa sasa Diamond anatamba na kibao cha 'Mdogo mdogo'.
Kwa sasa Diamond anatamba na kibao cha ‘Mdogo mdogo’. Picha na Taarifa News.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*