HULE 30 ZAUNGANISHWA NA SHIRIKA LA KIMATAIFA


        

 
Mgeni rasmi,Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw. Leornad Thadeo  akifungua bonanza la NGUVU YA KODI lililofanyika katika Viwanja vya chuo cha ustawi wa jamii katika siku ya kumbukumbu ya kuadhimisha miaka kumi na tano (15) tangu hayati  baba wa taifa Mwalimu Julius K Nyerere alipofariki  Dunia  Jijini Dar es Salaam. Tamasha hilo limemkumbuka Baba wa Taifa kwa kutoa Elimu na maelezo ya kutosha juu ya Kodi na Nguvu yake katika kuchangia maendeleo ya Taifa letu na Kukuza uchumi.

 Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw. Leornad Thadeo (kushoto) akiwa na Mratibu wa Shirika La Activista Ein Ahimidiwe wakati akimkaribisha kusaini katika ubao wa saini

 Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw. Leornad Thadeo akisai ubao kuungana na Activista pamoja na Action Aid Tanzania katika upingaji wa watu kuto kulipa kodi.(P.T)

Mkurugenzi wa Fedha wa TRA Bw.Salehe B Msholo ambaye alikuwa mgeni Rasmi katika bonanza akitia Saini yake katika ubao wa saini katika uwanja wa ustawi wa jamii siku ya kumbukumbu ya kuadhimisha miaka kumi na tano (15) tangu hayati  baba wa taifa Mwalimu Julius K Nyerere alipo fariki Dunia  Jijini Dar es Salaam 

 LRP Coordnator&Partnership Develop[ment manager Jovina Nawenzala Akitia saini katika ubao wa saini ili kuunga mkono wanafunzi wanaopinga  kutokulipa  kodi kwa baadhi ya wawekezaji na wengine kuwekewa punguzo la kodi

Bi. Jovina Nawenzala akitoa ufafanuzi wa kina kuhusu shirika la kimataifa lisilo la kiserikali la Action Aid na kazi zake katika siku ya kumbukumbu ya kuadhimisha miaka kumi na tano (15) tangu hayati  baba wa taifa Mwalimu Julius K Nyerere alipo fariki Dunia 



Mabango mbalimbali yakiwa na  na ujumbe tofauti katika maadhimisho ya kumbukumbu ya kuadhimisha miaka kumi na tano (15) tangu hayati  baba wa taifa Mwalimu Julius K Nyerere alipofariki Dunia 

 Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la maendeleo la kabenzo Tanzania john A Sekamba Kulia akiwa na Jerry Kerenge katika bonanza hilo

 

 
Watumbalimbali walio ungana na kuweza kuweka saini katika ubao ilikuweza kukumbusha  watu kulipa kodi ndio maendeleo ya nchi yetu

Vikombe vikiwa mezani vikisubiri mshindi katika mpira wa miguu pamoja na mpira wa pete kwa mshindi wa kwanza kwa upande wa vyuo na shule za sekondari


Mechi kati ya chuo cha ustawi wa jamii wakiwa wanapambana vikali na chuo cha kumbukumbu ya mwalimu Nyerere

 Wanatimu kwa upande wa vyuo walioshinda  na kuondoka na kikombe kwa mshindi wa kwanza ni chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere 

Mlinda mlango wa timu ya shule ya sekondari oysterbay  akiupangua Mkwaju wa penati na kuipelekea timu yake kuwa mshindi na kutinga nusu fainali




 Baadhi ya Timu shiriki katika mashindano yaliyo andaliwa na Action Aid na Activista Tanzania 


Mchezo wa kuvuta kamba nao haukuwa mbali hizi ni baadhi ya timu chache shiriki

wanafunzi mbalimbali wakijiandaa kukimbia mbio za urefu wa mita miamoja

 Mshindi wa mbio za mita Miamoja (100)kwa wanafunzi wa kiume Japhet Mwandimo kutoka shule ya sekondari Kibasila

  Mshindi wa mbio za mita Miamoja (100) mwanafunzi kwa wasichana Salome Saimon akisai jina lake baada ya kuibuka mshindi

Timu ya washindi wa mchezo wa mpira wa pete katika bonanza hilo katika shule ya sekondari wakiwa katika picha ya pamoja

Mgeni Rasmi Akimkabidhi Mwakilishi wa mshindi wa pili katika mchezo wa mpira wa pete kutoka chuo cha ufundi Veta akipokea medani kwa niaba ya Timu

 Mshindi wa mbio za Ndimu Akipokea Medali Ya ushindi wa Mbio hizo katika Bonanza kutoka kwa mgeni rasmi

 Mkurugenzi wa Fedha wa TRA Bw.Salehe B Msholo ambaye ndiye Mgeni Rasmi akifunga Bonanza lililofanyika siku ya kumbukumbu ya kuadhimisha miaka kumi na tano (15) tangu hayati  baba wa taifa Mwalimu Julius K Nyerere alipo fariki Dunia  Jijini Dar es Salaam 


 Picha za pamoja waalimu wafanyakazi wa mashirika wanafunzi pamoja na Mgeni Rasmi



Baadhi ya wanafunzi walio weza kuhudhuria bonanza hilo 

  kikundi cha burudani kikiwa kipo jukwaani kwaajiri ya kusherehesha katika bonanza lililo andaliwa na Action Aid Tanzania 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA