Mratibu wa Mashindano ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga akionesha cheti halisi cha kuzaliwa cha Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu (kushoto) wakati wa mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana, ikiwa ni sehemu ya ufafanuzi wa umri wa miss huyo huyo ulioleta utata na sintofahamu kwenye vyombo vya habari. Cheti hicho kilichotlewa na RITA mwaka huu kinaonesha Sitti alizaliwa Mei 31, 1991, Hospitali ya Temeke, Dar es Salaam.
Lundenga akizungumzia kuhusu taratibu zinazopaswa kufanyika wakati wa kusajili washiriki wa Miss Tanzania, ikiwemo kuwataka kila mmoja kuwapelekea cheti cha kuzaliwa jambo ambalo lilitekelezwa na washiriki wote akiwemo SittiMtemvu (kushoto) Kulia ni Miss Tanznania namba mbili , Lilian Kamazima.
Sitti Mtemvu akitoka na mamake Mariam Mtemvu baada ya mkutano kumalizika.
Sitti Mtemvu akiingia kwenye gari lililokuwa linaendeshwa na mamake mzazi, Mariam
Lundenga akizungumzia kuhusu taratibu zinazopaswa kufanyika wakati wa kusajili washiriki wa Miss Tanzania, ikiwemo kuwataka kila mmoja kuwapelekea cheti cha kuzaliwa jambo ambalo lilitekelezwa na washiriki wote akiwemo SittiMtemvu (kushoto) Kulia ni Miss Tanznania namba mbili , Lilian Kamazima.
Sitti Mtemvu akitoka na mamake Mariam Mtemvu baada ya mkutano kumalizika.
Sitti Mtemvu akiingia kwenye gari lililokuwa linaendeshwa na mamake mzazi, Mariam
Comments