Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond' , akitoa burudani katika tamasha la Serengeti Fiesta 2014, Leaders Club jijini Dar.
Madansa
wa Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinum wamekamatwa leo wapo kituo cha
polisi cha Oyster Bay, Dar kwa kuvaa sare za JWTZ.
Wakati
huohuo polisi wakiendelea kumtafuta bosi wao Nasibu Abdul ' Diamond
Platinumz kwa maelezo zaidi kutokana na kuvaa sare za Jeshi la Wananchi
(JWTZ) katika tamasha la Serengeti Fiesta Leaders Club, Dar usiku wa
kuamkia Jumapili iliyopita, hawajampata.
Mwandishi wetu alimtafuta Meneja wa Diamond aitwaye Babu Tale kwenye simu bila mafanikio.(HABARI NA MUSA MATEJA/GPL)
Comments