Mahafali ya pili ya WAMA Nakayama yafanyika


4
Msanii Vicky Kamata akiimba wimbo wa kumpongeza Mke wa Rais Mama Salma Kikwete na Taasisi ya Wanawake na Maendeleo(WAMA) kwa juhudi za mkomboa mtoto wa kike kielimu wakati mahafali ya pili Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi  katika mazingira magumu ya WAMA  Nakayama iliyopo katika kijiji cha Nyamisati, wilayani  Rufiji mkoani Pwani yaliyofanyika jana.
M5
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha  Rose Migoro(kulia) akimkabidhi cheti cha kuhitimu elimu ya sekondari  mwanafuzi mwanafunzi wa kidato cha nne kutoka Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi  katika mazingira magumu ya WAMA  Nakayama iliyopo katika kijiji cha Nyamisati, wilayani  Rufiji mkoani Pwani   Ulizeni Ngonyani  katika mahafali ya pili yaliyofanyika jana
6
.Baadhi ya wahitimu  wa elimu ya sekondari  ya kidato cha nne kutoka  katika Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi  katika mazingira magumu ya WAMA  Nakayama iliyopo katika kijiji cha Nyamisati, wilayani  Rufiji mkoani Pwani   wakifurahia na jambo na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati wa sherehe za   mahafali ya pili yaliyofanyika jana.
Picha namba 8892 ni Baadhi ya wake za viongozi waliohudhuria sherehe hiyo.
.Picha na Magreth Kinabo, Maelezo
IMG_8872
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha  Rose Migiro(katikati ) akizindua zahanati kwa  ajili ya matibabu ya  wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi  katika mazingira hatarishi ya WAMA  Nakayama iliyopo katika kijiji cha Nyamisati, wilayani Rufiji mkoani Pwani wakati  mahafali ya pili yaliyofanyika jana.
IMG_8881
Wahitimu  wa elimu ya sekondari  ya kidato cha nne kutoka  katika Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi  katika mazingira magumu ya WAMA  Nakayama iliyopo katika kijiji cha Nyamisati, wakiimba wimbo  wakati wa sherehe za   mahafali ya pili yaliyofanyika jana.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.