NAIBU WAZIRI MAKALLA AFANYA ZIARA YA KIKAZI PANGANI

 Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla akivuko katika Kivuko cha Mv Pangani akiwa katika ziara ya kikazi wilayani, Pangani, Tanga jana.
 Naibu waziri maji na mbunge wa mvomero alihutubia wakati wa mahafali darasa la shule ya msingi Kichangani
 Naibu waziri maji Amos makalla akizindua mradi maji kijiji cha Bweni wilaya ya Pangani
Naibu waziri maji Amos makalla akiwa na kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Pangani kushoto kwake ni mkuu wa wilaya Hafsa Mtesiwa

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI