Mkuu wa Kitengo cha Wateja na Makampuni Makubwa wa Benki ya NMB, Filbert Mponzi.
Rais wa Chama cha Gofu Tanzania, Joseph Tango.
Mkuu wa Kitengo cha Wateja na Makampuni Makubwa wa Benki ya NMB, Filbert Mponzi (wa pili kushoto), akizungumza katika
mkutano huo. Kutoka kushoto ni Meneja wa Masoko na Matukio wa Benki ya NMB, Josephine Kulwa, Rais wa Chama cha Gofu Tanzania, Joseph Tango na Makamu Naodha wa timu ya gofu Tanzania, Shakil Jaffer.
Rais wa Chama cha Gofu Tanzania, Joseph Tango.
Mkuu wa Kitengo cha Wateja na Makampuni Makubwa wa Benki ya NMB, Filbert Mponzi (wa pili kushoto), akizungumza katika
mkutano huo. Kutoka kushoto ni Meneja wa Masoko na Matukio wa Benki ya NMB, Josephine Kulwa, Rais wa Chama cha Gofu Tanzania, Joseph Tango na Makamu Naodha wa timu ya gofu Tanzania, Shakil Jaffer.
Mkuu wa Kitengo cha Wateja na Makampuni Makubwa wa Benki ya NMB, Filbert Mponzi (kushoto), akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya sh.milioni 19.4, Rais wa Chama cha Gofu Tanzania, Joseph Tango (kulia), kwa ajili ya kudhamini mashindano ya mchezo wa gofu ya Nyerere Masters yatakayofanyika Oktoba 11 na 12 mwaka huu viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam kwa ajili ya Kumbukumbu ya miaka 15 ya Mwalimu Julius Nyerere. Katikati ni Makamu Naodha wa timu ya gofu Tanzania, Shakil Jaffer.
Makamu Naodha wa timu ya gofu Tanzania, Shakil Jaffer (kulia), akizungumza katika mkutano huo.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Comments