Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Kikwete watatu
kutoka kulia akiwa amekata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa Daraja la
Maligisu. Wa kwanza kutoka kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi
Evarist Ndikilo akifatiwa na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli
Taswira ya Daraja la Maligisu kama linavyoonekana kwa chini.
Daraja la Maligisu kama linavyoonekana kwa juu mara baada ya kufunguliwa
Pilikapilika
mara baada ya ufunguzi wa Daraja la Maligisu ambapo maelfu ya wakazi wa
Kwimba na Magu walijitokeza katika sherehe hizo
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Kikwete akiwa
pamoja na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli wakipita juu ya daraja
hilo la Maligisu mara baada ya ufunguzi
Rais
Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Wenyeviti na Wakuu wa Taasisi
zilizopo chini ya Wizara ya Ujenzi pamoja na Waziri wa Ujenzi Dkt. John
Pombe Magufuli. Picha zote kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini,
Wizara ya Ujenz
Comments