Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya
kidemokrasia ya Kongo DRC wakiwa katika sherehe ya kuhitimu mafunzo ya
maafisa wanafunzi kundi la 54/13 kutoka Tanzania na DRC. DRC katika chuo
cha Mafunzo ya kijeshi kilichopo Monduli Mkoani Arusha leo. Amiri
Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Rais Joseph Kabila wa DRC na
Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange wakijadili jambo wakati wa
hafla ya kuhitimu mafunzo na kutunuku kamisheni kwa maafisa wa kundi la
54/13 DRC yaliyofanyika chuo cha kijeshi Monduli Mkoani Arusha
jana.(picha na Freddy Maro) Rais
Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo(DRC) akimpa zawadi
ofisa kadeti Yusup kutoka DRC baada ya kuibuka mwanafunzi bora katika
kundi la 54/13 wakati wa hafla ya kumaliza mafunzo iliyofanyika huko
Monduli jana. Rais
Joseph Kabila wa DRC akimpa zawadi Ofisa Kadeti Ibrahim Mwamtemi baada
ya kuibuka mwanafunzi bora katika mafunzo ya porini wakati wa hafla ya
kutunuku kmaisheni baada kumaliza mafunzo ya kundi la 54/13 DRC
yaliyofanyika Chuo cha kijeshi monduli jana. Amiri
Jeshi Mkuu, Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitunuku kamisheni kwa
maofisa wa Jeshi wanafunzi kundi la 54/13 DRC katika chuo cha Mafunzo ya
kijeshi kilichopo Monduli Mkoani Arusha jana. Maafisa
wapya wa jeshi la Wananchi wa Tanzania wakila kiapo cha utii kwa Amiri
Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa hafla ya kutunuku
kamisheni kwa maafisa wapya wa jeshi la wananchi wa Tanzania
iliyofanyika katika chuo cha mafunzo ya kijeshi kilichopo Monduli Mkoani
Arusha jana.
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments