Wekundu wa Msimbazi Simba leo wametoka droo ya 1-1 na Prisons ya Mbeya katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom, uliochezwa kwenye Uwanja wa Sokoine,jijini Mbeya.
Simba walikuwa wa kwanza kufunga bao lililotiwa kimiani na Emmanuel Okwi, ambapo dakika nne kabla ya mchezo kumalizika Prisons walisawazisha.timu hiyo sasa imefikisha pointi 5 baada ya kutoka droo katika michezo yote mitano iliyocheza katika ligi hiyo.
Simba walikuwa wa kwanza kufunga bao lililotiwa kimiani na Emmanuel Okwi, ambapo dakika nne kabla ya mchezo kumalizika Prisons walisawazisha.timu hiyo sasa imefikisha pointi 5 baada ya kutoka droo katika michezo yote mitano iliyocheza katika ligi hiyo.
Comments