Magari ya kampuni ya Strabag yakiwa kazini.
Vifaa vya kupimia vikiwa eneo la kazi.
Sehemu ya foleni inayotokana na ujenzi wa barabara hiyo.GPL(P.T)
Mfanyakazi wa Strabag akiwa barabarani kuongoza magari.
Magari yakichepuka njia mbadala.
Baadhi ya magari yakiwa pembeni mwa barabara.
KAMERA ya GPL imefanikiwa kufika eneo la Mwananyamala jijini Dar es Salaam na kujionea sehemu ya barabara ikiwa imezibwa ili kupisha uchimbaji na ujenzi wa mitaro maeneo ya barabara ya Kawawa, kwenye kona ya kuingia eneo la Vijana Mwananyamala, jijini Dar es Salaam.
Kuzibwa kwa barabara hiyo kumezua foleni katika barabara hiyo.
Kuzibwa kwa barabara hiyo kumezua foleni katika barabara hiyo.
(Habari/Picha na: Gabriel Ng’osha/GPL)
Comments