TBL YAKABIDHI KISIMA CHA MAJI ZAHANATI YA MAKUBURI, DAR

Mganga Mkuu wa Zahanati ya Makuburi, Manispaa ya Kinondoni, Dkt. Stella Kivugo (kulia), akijaribu kufungua bomba la maji, baada ya Mwenyekiti wa Mtaa wa Makaburi, Bw. James Ngoitanie (wa nne kushoto), kukata utepe kuzindua kisima cha maji kilichojengwa kwa hisani ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wengine ni watendaji wa Mtaa wa mwongozo. (Na Mpigapicha Wetu)
 Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwongozo, Dar es Salaam, Bw. James Ngoitanile (wa nne kushoto), akifurahia kwa kuonesha mkasi juu baada ya kukata utepe kuzindua rasmi kisima cha maji safi, kilichojengwa kwa hisani ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), katika Zahanati ya Makuburi, Manispaa ya Kinondoni. Kulia ni Mganga Mkuu wa Zahanati hiyo, Dkt. Stella Kivugo na Meneja Mauzo wa TBL Kinondoni, Bw. Joseph Nicholaus (wa pili kulia).

 Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwongozo, Dar es Salaam, Bw. James Ngoitanile (wa nne kushoto), akifurahia kwa kuonesha mkasi juu baada ya kukata utepe kuzindua rasmi kisima cha maji safi, kilichojengwa kwa hisani ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), katika Zahanati ya Makuburi, Manispaa ya Kinondoni mwishoni mwa wiki. Kulia ni Mganga Mkuu wa Zahanati hiyo, Dkt. Stella Kivugo na Meneja Mauzo wa TBL Kinondoni, Bw. Joseph Nicholaus (wa pili kulia).

 Mwenyekiti wa Mtaa wa Makaburi, Bw. James Ngoitanie (wa nne kushoto), akifungua koki ya maji baada ya kukata utepe kuzindua kisima cha maji kilichojengwa kwa hisani ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Uhusiano wa TBL, Bi. Doris Malulu, Mganga Mkuu wa Zahanati ya Makuburi, Manispaa ya Kinondoni, Dkt. Stella Kivugo, Meneja Mauzo wa TBL Kinondoni, Bw. Joseph Nicholaus (wa tatu kulia)  na watendaji wa Mtaa wa mwongozo. (Na Mpigapicha Wetu)
 Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwongozo, Bw. James Ngoitanile, akimtwisha ndoo ya maji Mjumbe wa Shina, Bi. Zubeda Samata, baada ya kuzindua bomba la maji safi lilijengwa kwa Hisani ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), katika Zahanati ya Makuburi, Dar es Saaam.
Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwongozo, Bw. James Ngoitanile, akimtwisha ndoo ya maji Mjumbe wa Shina, Bi. Zubeda Samata, baada ya kuzindua bomba la maji safi lilijengwa kwa Hisani ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), katika Zahanati ya Makuburi, Dar es Saaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA