Msanii wa maarufu wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Nasseb Abdul 'Platnamuz' (aliyevaa kofia katikati), akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi na waandishi wa habari wa magazeti ya Jambo Leo na StaaSpoti alipotembelea Kampuni inayochapisha magazeti hayo ya Jambo Concepts Tanzania Limited (JCTL), Dar es Salaam.PICHA NA KASSIM MBAROUK NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Mhariri Mtendaji wa gazeti la Jambo Leo, Anicetus Mwessa akimkabidhi Diamond gazeti la Jambo Leo
Diamond akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wasichana wa kampuni hiyo
Diamond akijadiliana jambo na Mmiliki wa Blogu hii ambaye pia ni Mpigapicha Mkuu wa magazeti ya Jambo Leo na StaaSpoti, Richard Mwaikenda
Mkurugenzi wa JCTL, Benny Kisaka akimtambulisha Diamond kwa wanahabari
Diamond akijibu baadhi ya maswali aliyoulizwa
Meneja wa Diamond, Babu Tale
Diamond akisoma gazeti la Jambo Leo
Diamond akiwa na msanifu wa magazeti hayo, Hamza
Diamond akiwa na Kassim Mbarouk ambaye ni mmiliki wa Blogu ya Bayana na Mpigapicha mwandamizi wa magazeti hayo
Diamond akiwa na Mkurugenzi wa JCTL, Benny Kisaka
Mhariri Mtendaji wa gazeti la Jambo Leo, Anicetus Mwessa akimkabidhi Diamond gazeti la Jambo Leo
Diamond akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wasichana wa kampuni hiyo
Diamond akijadiliana jambo na Mmiliki wa Blogu hii ambaye pia ni Mpigapicha Mkuu wa magazeti ya Jambo Leo na StaaSpoti, Richard Mwaikenda
Mkurugenzi wa JCTL, Benny Kisaka akimtambulisha Diamond kwa wanahabari
Diamond akijibu baadhi ya maswali aliyoulizwa
Meneja wa Diamond, Babu Tale
Diamond akisoma gazeti la Jambo Leo
Diamond akiwa na msanifu wa magazeti hayo, Hamza
Diamond akiwa na Kassim Mbarouk ambaye ni mmiliki wa Blogu ya Bayana na Mpigapicha mwandamizi wa magazeti hayo
Diamond akiwa na Mkurugenzi wa JCTL, Benny Kisaka
Comments