GAPCO YAZINDUA KADI MAALUM ZA SAFARI ZITAKAZOWEZESHA DEREVA KUPATA UNAFUU WA BEI YA MAFUTA KATIKA VITUO VYOTE, TANZANIA

 Rais wa Reliance Industries Limited ya Mumbai, Ashok Dhar akipongezana na Diwani wa Kata ya Kariakoo, Abdulkarim Masamaki (wa tatu kushoto) baada ya kuzindua kadi maalum za Safari za kampuni hiyo zitakazomwezesha dereva kupata huduma ya mafuta kutoka vituo vyote vya Gapco nchini kwa unafuu. Wengine (kustoka kushoto) ni Rais wa kampuni ya RIL ya Mumbai, Ashok Dhar, Diwani wa Kata ya Gerezani, Salum Bisarara, Ofisa Mtendaji Mkuu wa kundi la makampuni ya Gapco, Dk. Macharia Irungu na Mkurugenzi wa kituo cha Gapco, Barabara ya Nyerere, Muntazir Bharwani.
  Rais wa Reliance Industries Limited ya Mumbai, Ashok Dhar akikabidhi kadi maalum za Safari kwa Diwani wa Kata ya Gerezani, Salum Bisarara na Diwani wa Kata ya Kariakoo, Abdulkarim Masamaki baada ya kuzindua kadi hizo zitakazomwezesha dereva kupata huduma ya mafuta kwa unafuu katika hafla iliyofanyika Kituo cha Mafuta Gapco cha Kamata, Dar es Salaam jana. Wengine (kutoka kushoto) ni Rais wa kampuni ya RIL ya Mumbai, Ashok Dhar, Ofisa Mtendaji Mkuu wa kundi la makampuni ya Gapco, Dk. Macharia Irungu na maofisa wengine wa Gapco.
Rais wa Reliance Industries Limited ya Mumbai, Ashok akionesha kadi maalum za Safari za Gapco baada ya kuzinduliwa rasmi katika hafla iliyofanyika kituo cha mafuta cha Gapco Kamata, Dar es Salaam jana. Kadi hizo zitamwezesha dereva kuweza kupata huduma ya mafuta kwa unafuu kutoka vityo vyote vya Gapco Tanzania. Kutoka kushoto ni Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Gapco Tanzania, Vijay Nair, Diwani wa Kata ya Gerezani, Salum Bisarara, Diwani wa Kariakoo, Abdulkarim Masamaki (wa tatu kushoto), Meneja Miradi wa Gapco, Mohit Shirma, Ofisa Mtendaji Mkuu wa kundi la makampuni ya Gapco, Dk. Macharia Irungu na maofisa wengine wa Gapco.
 Meneja Uendeshaji wa Kadi za Gapco, Shital More akielezea matumizi ya kadi maalum za Safari kwa Diwani wa Kata ya Kariakoo, Abdulkarim Masamaki (katikati) baada ya kuzindua rasmi kadi hizo zitakazomwezesha dereva kupata huduma ya mafuta kwa unafuu katika vituo vyote vya Gapco nchini katika hafla iliyofanyika kituo cha Gapco Kamata, Dar es Salaam jana. Wengine (kutoka kushoto) ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa kundi la makampuni ya Gapco, Dk. Macharia Irungu, Meneja Miradi wa Gapco Tanzania, Mohit Shirma, Rais wa kampuni ya Reliance Industries Limited ya Mumbai, Ashok Dhar na maofisa wengine wa Gapco.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.