KINANA ASHIRIKI UJENZI WA BARABARA, UVUNAJI WA CHUMVI KILWA














 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana,  akipanda kwenye katapila tayari kuliendesha kushiriki ujenzi wa Barabara ya Kwamkocho hadi Kilwa Kivinje wakati wa zaiara ya kikazi ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2010-2015 wilayani Kilwa, Lindi Leo.

Kinana akiendesha Katapila wakati wa ujenzi wa barabara hiyo.

Kinana akisawazisha kifusi kwa kutumia Katapila.
 Kinana akishiriki kufyatua matofali ya Kikundi cha Vijana cha Majalala, Mnazi Mmoja, mjini Kilwa Masoko, Lindi.
 Kinana akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Abdalah Ubea alipokuwa akikagua shamba la vijana la umwagiliaji Nangurukuru, Kata ya Mandawa wakati wa ziara yake wilayani Kilwa leo.
Mjumbe wa NEC-CCM Bernard Membe, akizungumza baada ya kutambulishwa kwa wananchi katika shamba hilo


Kinana akipata maelezo kuhusu Mto Mavuji unaotumiwa na vijana katika kilimo cha umwagiliaji katika shamba lao
 Kinana akihutubia mbele ya jengo la Zahanati ya Nangurukuru aliposhiriki ujenzi wa nyumba ya Mganga wa zahanati hiyo
 Vijana wakishiriki katika uvunaji wa chumvi katika Kijiji cha Miina, wilayani Kilwa leo
Kinana akishiriki katika uvunaji wa chumvi katika Kijiji cha Miina, Kilwa

 Kinana akimtwisha mama ndoo ya chumvi iliyovunwa katika Mradi wa Miina katika Kijiji cha Miina, Kilwa
Kinana akioneshwa ghala la kuhifadhia chumvi katika Kijiji cha Miina.
 Kinana akibeba tofali baada ya kulifyatua katika mradi wa matofali wa Vijana wa Majalala, Mnazi Mmoja, Kilwa Masoko
 Mjumbe wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akifurahia jambo na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Lindi, Ally Mtopa wakati wa mkutano wa hadhara, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Kilwa Masoko leo.
 Wananchi wakinyoonsha mikono kuashiria kukikubali chama cha mapinduzi wakati wa mkutano huo wa hadhara.
 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, akihutubia katika mkutano wa hadhara katika mkutano huo.

 Kinana akihutubia katika mkutano huo


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU