Bondia Shabani Kaoneka kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Obago Kamata wakati wa mazoezi yaliyofanyika Shule ya Uhuru uwanja wa basket yakisimamiwa na Super D Boxing Coach Dar es salaam jana picha na SUPER D BLOG
Bondia Shabani Kaoneka kulia
akimtupia konde Obago Kamata wakati wa mazoezi yaliyofanyika Shule ya Uhuru uwanja wa basket yakisimamiwa na Super D Boxing Coach Dar es salaam jana picha na SUPER D BLOG
Bondia Shabani Kaoneka kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Obago Kamata wakati wa mazoezi yaliyofanyika Shule ya Uhuru uwanja wa basket yakisimamiwa na Super D Boxing Coach Dar es salaam jana picha na SUPER D BLOG
Bondia Jumaa Rashid akioneshana ubavu na Juma Biglee wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika uwanja wa Shule ya Uhuru uwanja wa basket yaliyokuwa yakisimamiwa na Super D Boxing Coach Dar es salaam jana picha na SUPER D BLOG
Bondia Omari Bai kushoto akipambana ya Kelvin Majiba wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika uwanja wa basket Shule ya Uhuru yaliyokuwa yakisimamiwa na Super D bOXING coach Dar es salaam jana picha na SUPER D BLOG
Bondia Shabani Kaoneka akipambana na Omari Bai wakati wa mazoezi yaliyofanyika Shule ya Uhuru uwanja wa basket yakisimamiwa na kocha Super D picha na SUPER D BLOG
Bodia Obaga Kamata kushoto akipambana na Idrisa Mweta wakati wa mazoezi yaliyofanyika Shule ya Uhuru uwanja wa basket yakisimamiwa na Super D Boxing Coach picha na SUPER D BLOG
Comments