MAMA KIKWETE NACHINGWEA

      

unnamed1 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete ambaye pia ni Mjumbe wa Halimashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM)  akimsikiliza  Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Lindi , Mzee Ally  Mtopa  wakati alipowasili Wilaya ya Nachingwea jana  kwa ajili ya shughuli mbalimbali  za chama  hicho.  unnamed3Mke wa Rais Mama Salma Kikwete ambaye pia ni Mjumbe wa Halimashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ,akipokelewa jana  na baadhi ya  viongozi wa Wilaya ya Nachingwea, wakiwemo viongozi wa Chama cha Mapinduzi  wakati alipowasili wilayani humo kwa ajili ya shughuli mbalimbali  za chama hicho.
unnamed5 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete ,ambaye pia ni Mjumbe wa Halimashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM) akivishwa skafu na  kijana  wa chipukizi wa Chama cha Mapinduzi  wakati alipowasili katika  wilaya ya Nachingwea  kwa ajili ya shughuli mbalimbali za chama hicho. unnamed6 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akifurahia jambo jana na baadhi ya wana Chama cha Mapinduzi  mara baada ya  kupokelewa  katika  Wilaya ya Nachingwea jana wakati alipowasili wilayani humo kwa ajili ya shughuli mbalimbali za chama hicho. unnamed7Mke wa Rais Mama Salma Kikwete ambaye pia ni Mjumbe wa Halimashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), akisalimiana  jana na baadhi ya wanachama wa CCM mara baada ya  kupokelewa  katika  Wilaya ya Nachingwea jana wakati alipowasili wilayani humo kwa ajili ya shughuli mbalimbali za chama hicho.
unnamed8Mke wa Rais Mama Salma Kikwete ambaye pia ni Mjumbe wa Halimashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), akisalimiana  jana na baadhi ya wanachama wa CCM mara baada ya  kupokelewa  katika  Wilaya ya Nachingwea jana wakati alipowasili wilayani humo kwa ajili ya shughuli mbalimbali za chama hicho.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA