MAMIA WAMZIKA MDAU NASELI JOSHUA DORIYE

      

 Mwili wa marehemu Naseli Joshua Doriye ukitolewa nyumbani kwao Africana jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuanza ibada ya mazishi.
 Jeneza lililokuwa na mwili wa marehemu Nasali.
Aliyekuwa Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) Dar es salaam, Prof. Joshua Doriye ambaye ni mzazi wa Naseli akiwa na mkewe wakati wa ibada ya mazishi nyumbani kwake Africana.
Ibada ikiendelea nyumbani kwa marehemu Naseli Joshua Doriye Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
 Picha ya marehemu Naseli enzi za uhai wake.
 Baadhi ya waombolezaji.
 Waombolezaji.
Wanafamilia wakiimba nyimbo za kumsifu mungu.
Ni huzuni ilitawala wakati wa ibada ya kuaga mwili.
Ndugu jamaa na marafiki wakitoa hesima za mwisho.
Wanafamilia.
Familia.
Mwakilishi wa familia kutoka Mburu akitoa salamu za rambirambi.
Ndugu, jirani, marafiki wakitoa heshima za mwisho.
Zoezi la kuga mwili likiendelea
Mdau Abdalah Natepe akitoa heshima za mwisho.
Baadhi ya wanafunzi alioasoma nao marehemu Naseli wakitoa heshima za nmwisho.
Ndugu na marafiki wakitoa heshima za mwisho.
Wanafamilia wakitoa heshima za mwisho. 
Wanafamilia wakitoa heshima za mwisho.
Wanafamilia wakiwa na huzuni kwa kuondokewa na Naseli Doriye.
Ibada ya ikiendelea.
Marafiki wa marehemu Naseli wakipita mbele ya jeneza lililokuwa na mwili wa marehemu kutoa heshima za mwisho.
 Wazazi wa Naseli wakitoa hesima za mwisho mbele ya jeneza lililokuwa na mwili wa marehemu, Naseli Doriye.
 Wadogo zake Naseli wakitoa heshima za mwisho.
 Tutakukumbuka kaka yetu mpendwa.
 Waida mdogo wa marehemu akitoa heshima za mwisho.
 Marafiki waliosoma na Naseli.
 Wanafunzi waliosoma na Naseli wakiwasili nyumbani kwa marehemu.
 Baadhi
ya marafiki waliosoma pamoja na mdau Naseli Joshua Doriye wakiwa katika
picha ya pamoja kabla ya kuanza kwa ibada ya mazishi.
 Waombolezaji
 Baadhi ya waombolezaji wakipata chakula.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*