MKOMBE CUP YAFANYIKA UWANJA WA BANDARI JIJINI DAR ES SALAAM

      

 Mbunge wa Jimbo la Temeke na Mwenyekiti wa Wabunge Mkoa wa Dar es Salaam , Abbas Mtemvu akiongea na wachezaji (pichani hawapo)  mara baada ya kukagua Timu hizo katika Fainali kati ya Timu 20  zilishiriki katika kumuenzi mwasisi wa Mashindano hayo marehemu Said Mkombe Cup. yaliyofanyika kwenye uwanja wa Bandari Dar es Salaam (PICHA NA KHAMISI MUSSA) Mmiliki wa UJIJIRAHAA.
 Wadau wa Timu shiriki wakifatilia kwaumakini mpambano huo .
Mashabiki wakifatilia kwa makini mpambano kati ya timu mbili zikichuana kati ya timu ya Kadiliya na Soweto , katika Fainali ya Mashindano ya Mkombe Cup 2014 katika kiwanja cha Bandari Dar es Salaam ambapo mgeni rasmi alikuwa Mbunge wa Jimbo la Temeke  na Mwenyekiti wa Wabunge Mkoa wa Dar es Salaam,Ababs Mtemvu, kati ya Timu 20 zimechuana katika kumuenzi mwanzilishi wa Mashindano hayo,  Said Mkombe  , ambapo  jumla ya Timu 20 zilishiriki na Alkadiria iliibuka mshindi   kwa kuifunga Soweto 2-0.
 Mbunge wa jimbo la Temeke Abass Mtemvu akikagua timu kabla ya mchezo huo kuanza.
  Mbunge wa jimbo la Temeke Abass Mtemvu akikagua timu kabla ya mchezo huo kuanza.
 Mchezo huo ukiendelea
Mbunge wa Jimbo la Temeke na Mwenyekiti wa Wabunge Mkoa wa Dar es Salaam Abbas Mtemvu (kushoto), akimkabidhi   Laki 5 Nahodha wa Timu ya Alkadir. Juma Issa,(wakwanza kulia) baada ya kuibuka kidedea kwa kuifunga timu ya Soweto  kati ya Timu 20 zilipochuana katika kumuenzi mwanzilishi wa Mashindano hayo Said Mkombe Cup.  Soweto wamefungwa 2-O katika kiwanja cha Bandari Dar es Salaam 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

𝙂𝘼𝙈𝙊𝙉𝘿𝙄 𝙆𝘼𝘾𝙃𝙀𝙕𝘼 𝙆𝙄𝘽𝙄𝙉𝙂𝙒𝘼.