MKURUGENZI WA MAKOSA YA JINAI (DCI) ISAYA MNGULU ASTAAFU, KAMANDA WA ZAMANI WA MBEYA AKAIMU!

Aliekuwa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu.Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu amestaafu leo baada ya kufikia kikomo cha umri kisheria (zaidi ya miaka 60). Kwa sasa nafasi yake amekaimu, Kamanda Diwani Athumani aliyewahi kuiwa Kamanda Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mbeya.

Kamanda Diwani Athumani aliyewahi kuwa Kamanda Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mbeya.Msemaji wa jeshi la polisi nchini, Advela Senso amethibitisha taarifa hiyo ambapo kwa sasa Kamanda Diwani atakaimu nafasi hiyo hadi pale jeshi litakapotangaza rasmi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU