NHC yavutia uwekezaji kongamano la uwekezaji JNICC



Naibu
Waziri wa Fedha, Adam Kighoma Malima akifungua kongamano la uwekezaji
lililoandaliwa na Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now) na
kufanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Nyerere
(JNICC) lililolenga kukuza na kuvutia uwekezaji kutoka kwa makampuni na
taasisi mbalimbali kubwa za kimataifa katika sekta za Uendelezaji
Miliki, Kilimo na Usafirishaji. (Picha Zote za Kitengo cha Mawasiliano
kwa Umma na Huduma kwa Jamii cha Shirika la Nyumba la Taifa)
Meneja waUendelezaji Biashara wa NHC, William Genya akijadiliana jambo na washiriki wa kongamano hilo
Mkurugenzi
Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Kyando Mchechu akitoa
mada kwenye kongamano la uwekezaji lililoandaliwa na Mpango wa Matokeo
Makubwa Sasa (Big Results Now) na kufanyika katika Kituo cha Mikutano
cha Kimataifa cha Mwalimu Nyerere (JNICC) leo, lililolenga kukuza na
kuvutia uwekezaji kutoka kwa makampuni na taasisi mbalimbali kubwa za
kimataifa katika sekta za Uendelezaji Miliki, Kilimo na Usafirishaji.
 
 
Mkurugenzi wa Ukusanyaji Mapato wa Ofisi ya Rais, Usimamizi na Utekelezaji wa Miradi (PDB), Bw. Lawrence Mafuru ambao ndio wandaaji wa kongamano hilo akizungumza  kwenye
Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Nyerere (JNICC) leo,
kongamano hilo limelenga kukuza na kuvutia uwekezaji kutoka kwa
makampuni na taasisi mbalimbali kubwa za kimataifa katika sekta za
Uendelezaji Miliki, Kilimo na Usafirishaji.
Baadhi
ya washiriki waliokuwapo katika kongamano hilo la uwekezaji
lililoandaliwa na Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now) na
kufanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Nyerere
(JNICC) leo.
 Baadhi
ya washiriki waliokuwapo katika kongamano hilo la uwekezaji
lililoandaliwa na Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now) na
kufanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Nyerere
(JNICC) leo.
 
 Baadhi
ya washiriki waliokuwapo katika kongamano hilo la uwekezaji
lililoandaliwa na Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now) na
kufanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Nyerere
(JNICC) leo.
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, DkShaban Mwinjaka, Naibu
Waziri wa Fedha, Adam Kighoma Malima na Waziri wa Uchukuzi Dk Harrison
Mwakyembe wakifuatilia mada katika kongamano la uwekezaji lililoandaliwa
na Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now) na kufanyika katika
Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Nyerere (JNICC) leo.
 
Naibu
Waziri wa Fedha, Adam Kighoma Malima na Waziri wa Uchukuzi Dk Harrison
Mwakyembe wakifuatilia mada katika kongamano la uwekezaji lililoandaliwa
na Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now) na kufanyika katika
Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Nyerere (JNICC) leo.
Mkurugenzi
Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji (TIC) Bi Julieth Kairuki akitoa mada kwenye
kongamano la uwekezaji lililoandaliwa na Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa
(Big Results Now) na kufanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa
cha Mwalimu Nyerere (JNICC) leo, lililolenga kukuza na kuvutia uwekezaji
kutoka kwa makampuni na taasisi mbalimbali kubwa za kimataifa katika
sekta za Uendelezaji Miliki, Kilimo na Usafirishaji.
Mtendaji
Mkuu wa Investment Capital Group (ICG), Shose Sinare na baadhi ya
washiriki wengine waliokuwapo katika kongamano hilo la uwekezaji
lililoandaliwa na Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now) na
kufanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Nyerere
(JNICC) leo.
Mkurugenzi wa Ukusanyaji Mapato wa Ofisi ya Rais, Usimamizi na Utekelezaji wa Miradi (PDB), Bw. Lawrence Mafuru na washiriki
wengine waliokuwapo katika kongamano hilo la uwekezaji lililoandaliwa
na Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now) na kufanyika katika
Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Nyerere (JNICC) leo.
 Baadhi
ya washiriki waliokuwapo katika kongamano hilo la uwekezaji
lililoandaliwa na Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now) na
kufanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Nyerere
(JNICC) leo.
 
 
 
 Naibu Waziri wa Fedha, Adam Kighoma Malima akizungumza na waandishi wa habari, wakati wa kongamano hilo.
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumza na waandishi wa habari kwenye kongamano hilo.

Baadhi ya washiriki waliokuwapo katika kongamano hilo la uwekezaji
lililoandaliwa na Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now) na
kufanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Nyerere
(JNICC) leo.

Baadhi ya washiriki waliokuwapo katika kongamano hilo la uwekezaji
lililoandaliwa na Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now) na
kufanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Nyerere
(JNICC) leo.
Maafisa NHC  Clara Lumbanga, Fatima Rajabu na Bulla Boma wakifuatilia mada katika
kongamano hilo la uwekezaji lililoandaliwa na Mpango wa Matokeo Makubwa
Sasa (Big Results Now) na kufanyika katika Kituo cha Mikutano cha
Kimataifa cha Mwalimu Nyerere (JNICC) leo.
 
 Mkurugenzi
Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Kyando Mchechu akitoa
mada kwenye kongamano la uwekezaji lililoandaliwa na Mpango wa Matokeo
Makubwa Sasa (Big Results Now) na kufanyika katika Kituo cha Mikutano
cha Kimataifa cha Mwalimu Nyerere (JNICC) leo, lililolenga kukuza na
kuvutia uwekezaji kutoka kwa makampuni na taasisi mbalimbali kubwa za
kimataifa katika sekta za Uendelezaji Miliki, Kilimo na Usafirishaji.
 
Mkurugenzi
Mkurugenzi wa Uendelezaji Biashara wa NHC, David Shambwe akifuatilia
kwa makini kongamano la uwekezaji lililoandaliwa na Mpango wa Matokeo
Makubwa Sasa (Big Results Now) na kufanyika katika Kituo cha Mikutano
cha Kimataifa cha Mwalimu Nyerere (JNICC) leo, lililolenga kukuza na
kuvutia uwekezaji kutoka kwa makampuni na taasisi mbalimbali kubwa za
kimataifa katika sekta za Uendelezaji Miliki, Kilimo na Usafirishaji.
 
 Maafisa
wa NHC  nje ya kongamano la uwekezaji lililoandaliwa na Mpango wa
Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now) na kufanyika katika Kituo cha
Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Nyerere (JNICC) leo, lililolenga
kukuza na kuvutia uwekezaji kutoka kwa makampuni na taasisi mbalimbali
kubwa za kimataifa katika sekta za Uendelezaji Miliki, Kilimo na
Usafirishaji.
 Mkurugenzi
Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akiwa katika
majadiliano ya kina na baadhi ya washirikia walioonyesha nia ya
kuwekeza katika miradi ya NHC.
Afisa Uendelezaji Biashara NHC, Fatima Adadi Rajabu akijadiliana jambo na Mtendaji Mkuu wa Investment Capital Group (ICG), Shose Sinare
 
Afisa Masoko wa NHC, Mariam Ndabagenga akijadiliana jambo na washiriki wa kongamano hilo 
Mkurugenzi Mkurugenzi wa Uendelezaji Biashara wa NHC, David Shambwe akijadiliana jambo mmoja wa washiriki wa kongamano hilo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI