NHIF YAWAFANYIA UPIMAJI MAJAJI MKOANI MWANZA


1Afisa Masoko na Elimu kwa Umma wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bi. Catherine Kameka akimpima urefu askari wa kituo cha Ilemela Pc Auson Pascal katika zoezi la upimaji afya linaloendeshwa na NHIF katika mkutano wa Majaji unaofanyika Mkoani Mwanza.
2Daktari Kevin Kanama akimpima kasi ya mapigo ya moyo Mkurugenzi wa Ukaguzi na Maadili wa Mahakama Kuu Mhe. Ilivin Mugeta katika zoezi la upimaji afya linaloendeshwa na NHIF katika mkutano wa Majaji unaofanyika Mkoani Mwanza.
3Jaji wa Mahakama Kuu Mhe. Moses Mzuna akipimwa kipimo cha sukari na Daktari Godliver Lwakatare katika zoezi la upimaji afya linaloendeshwa na NHIF katika mkutano wa Majaji unaofanyika Mkoani Mwanza.
4John Mgeta akipewa maelezo ya hali lishe na Daktari Kevin Kanama katika zoezi la upimaji afya linaloendeshwa na NHIF katika mkutano wa Majaji unaofanyika Mkoani Mwanza.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.